1 Samweli 14:6
Yonathani akamwambia kijana wake mbeba silaha, “Njoo, tuvukie doria ya wale jamaa wasiotahiriwa. Huenda Mwenyezi Mungu atatenda kwa ajili yetu. Hakuna chochote kitakachoweza kumzuia Mwenyezi Mungu kuokoa, kwamba ni kwa wingi au kwa uchache.”1 Samweli 14:6 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- מַעְצוֹרmaʻtsôwrobjectively, a hindrance
- מַצָּבmatstsâba fixed spot; figuratively, an office, a military post
- עָרֵלʻârêluncircumcised (i.e. still having the prepuce uncurtailed)
- יְהוֹנָתָןYᵉhôwnâthânJehonathan, the name of four Israelites
- מְעַטmᵉʻaṭa little or few (often adverbial or compar.)
- יָשַׁעyâshaʻproperly, to be open, wide or free, i.e. (by implication) to be safe; causatively, to free
- נַעַרnaʻar(concretely) a boy (as active), from the age of infancy to adolescence; by implication, a
- כְּלִיkᵉlîysomething prepared, i.e. any apparatus (as an implement, utensil, dress, vessel or weapon)
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.