1 Samweli 14:45
Lakini watu wakamwambia Sauli, “Je, Yonathani atakufa, yeye ambaye ameleta ukombozi huu mkubwa kwa Israeli? Hasha! Hakika kama Mwenyezi Mungu aishivyo, hakuna hata unywele wa kichwa chake utakaoanguka juu ya ardhi, kwa kuwa alifanya jambo hili leo kwa msaada wa Mungu.” Basi watu wakamwokoa Yonathani, wala hakuuawa.1 Samweli 14:45 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- שַׂעֲרָהsaʻărâhhairiness
- חָלִילָהchâlîylâhliteral fora profaned thing; used (interj.) far be it!
- יוֹנָתָןYôwnâthânJonathan, the name of ten Israelites
- פָּדָהpâdâhto sever, i.e. ransom; gener. to release, preserve
- יְשׁוּעָהyᵉshûwʻâhsomething saved, i.e. (abstractly) deliverance; hence, aid, victory, prosperity
- שָׁאוּלShâʼûwlShaul, the name of an Edomite and two Israelites
- נָפַלnâphalto fall, in a great variety of applications (intransitive or causative, literal or figurat
- חַיchayalive; hence, raw (flesh); fresh (plant, water, year), strong; also (as noun, especially i
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.