1 Samweli 14:41
Kisha Sauli akamwomba Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, akisema, “Kwa nini hujamjibu mtumishi wako leo? Ikiwa makosa ni yangu au ya mwanangu Yonathani, jibu kwa Urimu. Lakini ikiwa makosa ni ya wanaume wa Israeli, jibu kwa Thumimu.” Yonathani na Sauli wakatolewa kwa kura, nao watu wakawa salama.1 Samweli 14:41 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- יָהַבyâhabto give (whether literal or figurative); generally, to put; imperatively (reflexive) come
- יוֹנָתָןYôwnâthânJonathan, the name of ten Israelites
- תָּמִיםtâmîymentire (literally, figuratively or morally); also (as noun) integrity, truth
- לָכַדlâkadto catch (in a net, trap or pit); generally, to capture or occupy; also to choose (by lot)
- שָׁאוּלShâʼûwlShaul, the name of an Edomite and two Israelites
- יָצָאyâtsâʼto go (causatively, bring) out, in a great variety of applications, literally and figurati
- עַםʻama people (as a congregated unit); specifically, a tribe (as those of Israel); hence (colle
- יִשְׂרָאֵלYisrâʼêlJisrael, a symbolical name of Jacob; also (typically) of his posterity
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.