1 Samweli 14:39
Kwa hakika kama Mwenyezi Mungu aiokoaye Israeli aishivyo, hata kama itakuwa kwa mwana wangu Yonathani, ni lazima afe.” Lakini hakuna mtu yeyote aliyesema neno.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- יוֹנָתָןYôwnâthânJonathan, the name of ten Israelites
- יֵשׁyêshthere is or are (or any other form of the verb to be, as may suit the connection)
- יָשַׁעyâshaʻproperly, to be open, wide or free, i.e. (by implication) to be safe; causatively, to free
- עָנָהʻânâhproperly, to eye or (generally) to heed, i.e. pay attention; by implication, to respond; b
- חַיchayalive; hence, raw (flesh); fresh (plant, water, year), strong; also (as noun, especially i
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
- עַםʻama people (as a congregated unit); specifically, a tribe (as those of Israel); hence (colle
- יִשְׂרָאֵלYisrâʼêlJisrael, a symbolical name of Jacob; also (typically) of his posterity
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.