1 Samweli 12:3
Mimi ninasimama hapa. Shuhudieni dhidi yangu mbele za Mwenyezi Mungu na mpakwa mafuta wake. Nimechukua maksai wa nani? Nimechukua punda wa nani? Ni nani nimepata kumdanganya? Nimemdhulumu nani? Nimepokea rushwa kutoka kwa nani ili nifumbe macho yangu? Kama nimefanya chochote katika hivi, nitawarudishia.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- כֹּפֶרkôpherproperly, a cover, i.e. (literally) a village (as covered in); (specifically) bitumen (as
- רָצַץrâtsatsto crack in pieces, literally or figuratively
- עָלַםʻâlamto veil from sight, i.e. conceal (literally or figuratively)
- עָשַׁקʻâshaqto press upon, i.e. oppress, defraud, violate, overflow
- מָשִׁיחַmâshîyachanointed; usually a consecrated person (as a king, priest, or saint); specifically, the Me
- שׁוֹרshôwra bullock (as a traveller)
- חֲמוֹרchămôwra male ass (from its dun red)
- עָנָהʻânâhproperly, to eye or (generally) to heed, i.e. pay attention; by implication, to respond; b
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.