MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Samweli 11:9

Wakawaambia wale wajumbe waliokuwa wamekuja, “Waambieni wanaume wa Yabesh-Gileadi, ‘Kesho kabla jua halijawa kali, mtaokolewa.’ ” Wajumbe walipoenda na kutoa taarifa hii kwa wanaume wa Yabeshi, wakafurahi.

Soma katika muktadha

1 Samweli 11:9 katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

Psa 18:17

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1sa/11/9" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Samweli 11:9 — MEGA.Bible"></iframe>