1 Samweli 10:3
“Kisha utaenda mbele kutoka hapa hadi uufikie mwaloni wa Tabori. Watu watatu wanaopanda kwenda kumwabudu Mungu huko Betheli watakutana nawe hapo. Mmoja atakuwa amechukua wana-mbuzi watatu, mwingine mikate mitatu, na mwingine kiriba cha divai.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- תָּבוֹרTâbôwrTabor, a mountain in Palestine, also a city adjacent
- אֵלוֹןʼêlôwnan oak or other strong tree
- הָלְאָהhâlᵉʼâhto the distance, i.e. far away; also (of time) thus far
- גְּדִיgᵉdîya young goat (from browsing)
- חָלַףchâlaphproperly, to slide by, i.e. (by implication) to hasten away, pass on, spring up, pierce or
- נֶבֶלnebela skin-bag for liquids (from collapsing when empty); hence, a vase (as similar in shape wh
- כִּכָּרkikkâra circle, i.e. (by implication) a circumjacent tract or region, especially the Ghor or val
- בֵּית־אֵלBêyth-ʼÊlBeth-El, a place in Palestine
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
