1 Samweli 10:24
Samweli akawaambia watu wote, “Je, mnamwona mtu ambaye Mwenyezi Mungu amemchagua? Hayupo aliye kama yeye miongoni mwa watu wote.” Ndipo watu wakasema kwa sauti kuu, “Mfalme aishi maisha marefu.”1 Samweli 10:24 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- רוּעַrûwaʻto mar (especially by breaking); figuratively, to split the ears (with sound), i.e. shout
- שְׁמוּאֵלShᵉmûwʼêlShemuel, the name of three Israelites
- בָּחַרbâcharproperly, to try, i.e. (by implication) select
- חָיָהchâyâhto live, whether literally or figuratively; causatively, to revive
- רָאָהrâʼâhto see, literally or figuratively (in numerous applications, direct and implied, transitiv
- עַםʻama people (as a congregated unit); specifically, a tribe (as those of Israel); hence (colle
- מֶלֶךְmeleka king
- אָמַרʼâmarto say (used with great latitude)
+maneno 1 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.