1 Samweli 1:23
Elkana mumewe akamwambia, “Fanya lile unaloona ni bora zaidi kwako. Ukae hapa hadi utakapomwachisha kunyonya, Mwenyezi Mungu na akujalie kutimiza nadhiri yako.” Hivyo huyo mwanamke akakaa nyumbani na kumnyonyesha mwanawe hadi alipomwachisha kunyonya.1 Samweli 1:23 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אֶלְקָנָהʼElqânâhElkanah, the name of several Israelites
- גָּמַלgâmalto treat a person (well or ill), i.e. benefit or requite; by implication (of toil), to rip
- יָנַקyânaqto suck; causatively, to give milk
- טוֹבṭôwbgood (as an adjective) in the widest sense; used likewise as a noun, both in the masculine
- קוּםqûwmto rise (in various applications, literal, figurative, intensive and causative)
- אִשָּׁהʼishshâha woman
- עַיִןʻayinan eye (literally or figuratively); by analogy, a fountain (as the eye of the landscape)
- יָשַׁבyâshabproperly, to sit down (specifically as judge. in ambush, in quiet); by implication, to dwe
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Sa 7:25, Mat 24:19, Gen 21:7–8, Num 30:7–11, 1Sa 1:17, Luk 11:27, Isa 44:26, Psa 22:9