1 Wafalme 9:7
basi nitakatilia mbali Israeli kutoka nchi niliyowapa, nami nitalikataa Hekalu hili nililolitakasa kwa ajili ya Jina langu. Ndipo Israeli itakuwa kitu cha kudharauliwa na watu na kuwa kitu cha kudhihakiwa miongoni mwa watu wote.1 Wafalme 9:7 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- שְׁנִינָהshᵉnîynâhsomething pointed, i.e. a gibe
- מָשָׁלmâshâlproperly, a pithy maxim, usually of metaphorical nature; hence, a simile (as an adage, poe
- קָדַשׁqâdashto be (causatively, make, pronounce or observe as) clean (ceremonially or morally)
- אֲדָמָהʼădâmâhsoil (from its general redness)
- כָּרַתkârathto cut (off, down or asunder); by implication, to destroy or consume; specifically, to cov
- שֵׁםshêman appellation, as amark or memorial of individuality; by implication honor, authority, ch
- שָׁלַחshâlachto send away, for, or out (in a great variety of applications)
- עַםʻama people (as a congregated unit); specifically, a tribe (as those of Israel); hence (colle
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.