1 Wafalme 7:2
Alijenga jumba lililoitwa Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni. Lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja, upana wa dhiraa hamsini, na kimo cha dhiraa thelathini, na safu nne za nguzo za mwerezi zilizoshikilia boriti za mwerezi zilizosawazishwa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- כָּרֻתָהkâruthâhsomething cut, i.e. a hewn timber
- טוּרṭûwra row; hence, a wall
- קוֹמָהqôwmâhheight
- יַעַרyaʻara copse of bushes; hence, a forest; hence, honey in the comb (as hived in trees)
- לְבָנוֹןLᵉbânôwnLebanon, a mountain range in Palestine
- אֶרֶזʼereza cedar tree (from the tenacity of its roots)
- עַמּוּדʻammûwda column (as standing); also a stand, i.e. platform
- רֹחַבrôchabwidth (literally or figuratively)
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
