1 Wafalme 13:18
Yule nabii mzee akajibu, “Mimi pia ni nabii, kama wewe. Naye malaika alisema nami kwa neno la Mwenyezi Mungu: ‘Mrudishe aje katika nyumba yako ili apate kula mkate na kunywa maji.’ ” (Lakini alikuwa akimwambia uongo.)Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- כָּחַשׁkâchashto be untrue, in word (to lie, feign, disown) or deed (to disappoint, fail, cringe)
- שָׁתָהshâthâhto imbibe (literally or figuratively)
- מֲלְאָךְmălʼâka messenger; specifically, of God, i.e. an angel (also a prophet, priest or teacher)
- לֶחֶםlechemfood (for man or beast), especially bread, or grain (for making it)
- נָבִיאnâbîyʼa prophet or (generally) inspired man
- מַיִםmayimwater; figuratively, juice; by euphemism, urine, semen
- אָכַלʼâkalto eat (literally or figuratively)
- שׁוּבshûwbto turn back (hence, away) transitively or intransitively, literally or figuratively (not
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Jn 4:1, Mat 7:15, Num 22:35, Jer 28:15–16, 2Co 11:13–15, 2Pe 2:1, Jer 23:32, Rom 16:18