1 Mambo Ya Nyakati 7:28
Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- נַעֲרָןNaʻărânNaaran, a place in Palestine
- מַעֲרָבmaʻărâbthe west (as a region of the evening sun)
- גֶּזֶרGezerGezer, a place in Palestine
- עַזָּהʻAzzâhAzzah, a place in Palestine
- מוֹשָׁבmôwshâba seat; figuratively, a site; abstractly, a session; by extension an abode (the place or t
- אֲחֻזָּהʼăchuzzâhsomething seized, i.e. a possession (especially of land)
- שְׁכֶםShᵉkemShekem, a place in Palestine
- בֵּית־אֵלBêyth-ʼÊlBeth-El, a place in Palestine
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.



