1 Mambo Ya Nyakati 6:49
Lakini Haruni na uzao wake ndio walikuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Musa mtumishi wa Mungu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- קְטֹרֶתqᵉṭôretha fumigation
- כָּפַרkâpharto cover (specifically with bitumen); figuratively, to expiate or condone, to placate or c
- קָטַרqâṭarto smoke, i.e. turn into fragrance by fire (especially as an act of worship)
- מְלָאכָהmᵉlâʼkâhproperly, deputyship, i.e. ministry; generally, employment (never servile) or work (abstra
- עֹלָהʻôlâha step or (collectively, stairs, as ascending); usually a holocaust (as going up in smoke)
- מִזְבֵּחַmizbêachan altar
- אַהֲרוֹןʼAhărôwnAharon, the brother of Moses
- קֹדֶשׁqôdesha sacred place or thing; rarely abstract, sanctity
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Lev 4:20, Exo 30:10–16, Exo 27:1–8, Exo 30:1–7, Exo 29:33, Job 33:24, Heb 7:11–14, Lev 8:1–10
