1 Mambo Ya Nyakati 4:18
Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa. Meredi alikuwa na mke mwingine wa kabila la Yuda ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko, na Yekuthieli baba wa Zanoa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- בִּתְיָהBithyâhBithjah, an Egyptian woman
- יְהֻדִיָּהYᵉhudîyâhJehudijah, a Jewess
- יְקוּתִיאֵלYᵉqûwthîyʼêlJekuthiel, an Israelite
- מֶרֶדMeredMered, an Israelite
- זָנוֹחַZânôwachZanoach, the name of two places in Palestine
- גְדֹרGᵉdôrGedor, a place in Palestine; also the name of three Israelites
- יֶרֶדYeredJered, the name of an antediluvian, and of an Israelite
- שׂוֹכֹהSôwkôhSokoh or Soko, the name of two places in Palestine
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.