MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Mambo Ya Nyakati 27:5

Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu elfu ishirini na nne.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

1Ch 18:17, 1Ki 4:4–5

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/27/5" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 27:5 — MEGA.Bible"></iframe>