1 Mambo Ya Nyakati 27:5
Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu elfu ishirini na nne.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מַחֲלֹקֶתmachălôqetha section (of Levites, people or soldiers)
- בְּנָיָהBᵉnâyâhBenajah, the name of twelve Israelites
- יְהוֹיָדָעYᵉhôwyâdâʻJehojada, the name of three Israelites
- שְׁלִישִׁיshᵉlîyshîythird; feminine athird (part); by extension, a third (day, year or time); specifically, a
- חֹדֶשׁchôdeshthe new moon; by implication, a month
- אַרְבַּעʼarbaʻfour
- עֶשְׂרִיםʻesrîymtwenty; also (ordinal) twentieth
- שַׂרsara head person (of any rank or class)
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.