1 Mambo Ya Nyakati 26:28
Kila kitu kilichokuwa kimewekwa wakfu na Samweli mwonaji, na Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Seruya, pamoja na vitu vingine vyote vilivyokuwa vimewekwa wakfu, vyote vilikuwa chini ya uangalizi wa Shelomithi na jamaa zake.1 Mambo Ya Nyakati 26:28 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- שְׁלֹמִיתShᵉlômîythShelomith, the name of five Israelites and three Israelitesses
- נֵרNêrNer, an Israelite
- קִישׁQîyshKish, the name of five Israelites
- צְרוּיָהTsᵉrûwyâhTserujah, an Israelitess
- אַבְנֵרʼAbnêrAbner, an Israelite
- שְׁמוּאֵלShᵉmûwʼêlShemuel, the name of three Israelites
- יוֹאָבYôwʼâbJoab, the name of three Israelites
- קָדַשׁqâdashto be (causatively, make, pronounce or observe as) clean (ceremonially or morally)
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.