1 Mambo Ya Nyakati 25:3
Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Mwenyezi Mungu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- צְרִיTsᵉrîyTseri, an Israelite
- מַתִּתְיָהMattithyâhMattithjah, the name of four Israelites
- יְדוּתוּןYᵉdûwthûwnJeduthun, an Israelite
- חֲשַׁבְיָהChăshabyâhChashabjah, the name of nine Israelites
- גְּדַּלְיָהGᵉdalyâhGedaljah, the name of five Israelites
- כִּנּוֹרkinnôwra harp
- יְשַׁעְיָהYᵉshaʻyâhJeshajah, the name of seven Israelites
- נָבָאnâbâʼto prophesy, i.e. speak (or sing) by inspiration (in prediction or simple discourse)
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.