1 Mambo Ya Nyakati 24:4
Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אִיתָמָרʼÎythâmârIthamar, a son of Aaron
- גֶּבֶרgeberproperly, a valiant man or warrior; generally, a person simply
- חָלַקchâlaqto be smooth (figuratively); by implication (as smooth stones were used for lots) to appor
- אֶלְעָזָרʼElʻâzârElazar, the name of seven Israelites
- שְׁמֹנֶהshᵉmôneha cardinal number, eight (as if a surplus above the 'perfect' seven); also (as ordinal) ei
- שֵׁשׁshêshsix (as an overplus beyond five or the fingers of the hand); as ord. sixth
- עָשָׂרʻâsârten (only in combination), i.e. -teen; also (ordinal) -teenth
- מָצָאmâtsâʼproperly, to come forth to, i.e. appear or exist; transitively, to attain, i.e. find or ac
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.