MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Mambo Ya Nyakati 24:31

Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Haruni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.

Soma katika muktadha

1 Mambo Ya Nyakati 24:31 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/24/31" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 24:31 — MEGA.Bible"></iframe>