1 Mambo Ya Nyakati 23:24
Hawa walikuwa wazao wa Lawi kwa jamaa zao. Wakuu wa jamaa kama walivyoandikwa kwa majina yao na kuhesabiwa kila mmoja, yaani wenye uwezo wa kufanya kazi kuanzia miaka ishirini au zaidi, waliohudumu katika Hekalu la Mwenyezi Mungu.1 Mambo Ya Nyakati 23:24 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- גֻּלְגֹּלֶתgulgôletha skull (as round); by implication, a head (in enumeration of persons)
- לֵוִיLêvîyLevi, a son of Jacob
- עֲבֹדָהʻăbôdâhwork of any kind
- מִסְפָּרmiçpâra number, definite (arithmetical) or indefinite (large, innumerable; small, a few); also (
- מְלָאכָהmᵉlâʼkâhproperly, deputyship, i.e. ministry; generally, employment (never servile) or work (abstra
- מַעַלmaʻalproperly, the upper part, used only adverbially with prefix upward, above, overhead, from
- פָּקַדpâqadto visit (with friendly or hostile intent); by analogy, to oversee, muster, charge, care f
- עֶשְׂרִיםʻesrîymtwenty; also (ordinal) twentieth
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.