MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Mambo Ya Nyakati 23:13

Wana wa Amramu walikuwa: Haruni na Musa. Haruni waliwekwa wakfu, yeye na wazao wake milele, wawe wakiweka wakfu vitu ambavyo ni vitakatifu mno, kutoa dhabihu mbele za Mwenyezi Mungu, kuhudumu mbele zake na kubariki katika Jina la Mwenyezi Mungu milele.

Soma katika muktadha

1 Mambo Ya Nyakati 23:13 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/23/13" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 23:13 — MEGA.Bible"></iframe>