1 Mambo Ya Nyakati 20:4
Baada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti, huko Gezeri. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai, aliyekuwa mmoja wa wazao wa Warefai, nao Wafilisti wakashindwa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- סִפַּיÇippaySippai, a Philistine
- סִבְּכַיÇibbᵉkaySibbecai, an Israelite
- חֻשָׁתִיChushâthîya Chushathite or descendant of Chushah
- יָלִידyâlîydborn
- גֶּזֶרGezerGezer, a place in Palestine
- אָזʼâzat that time or place; also as a conjunction, therefore
- רָפָאrâphâʼa giant
- כָּנַעkânaʻproperly, to bend the knee; hence, to humiliate, vanquish
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

