1 Mambo Ya Nyakati 19:7
Wakakodisha magari ya vita elfu thelathini na mbili na waendeshaji wake, pamoja na mfalme wa Maaka na vikosi vyake. Wakapiga kambi karibu na Medeba. Waamoni nao wakakusanyika toka miji yao, wakatoka ili kupigana vita.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מֵידְבָאMêydᵉbâʼMedeba, a place in Palestine
- שָׂכַרsâkarto hire
- מַעֲכָהMaʻăkâhMaakah (or Maakath), the name of a place in Syria, also of a Mesopotamian, of three Israel
- עַמּוֹןʻAmmôwnAmmon, a son of Lot; also his posterity and their country
- רֶכֶבrekeba vehicle; by implication, a team; by extension, cavalry; by analogy a rider, i.e. the upp
- חָנָהchânâhproperly, to incline; by implication, to decline (of the slanting rays of evening); specif
- שְׁלוֹשִׁיםshᵉlôwshîymthirty; or (ordinal) thirtieth
- אָסַףʼâçaphto gather for any purpose; hence, to receive, take away, i.e. remove (destroy, leave behin
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.


