1 Mambo Ya Nyakati 19:3
wakuu wa Waamoni wakamwambia Hanuni, “Hivi unadhani Daudi anamheshimu baba yako kwa kuwatuma wajumbe kukufariji? Je, hawa watu hawakuja kuipeleleza na kuidadisi nchi ili waishinde?”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- חָנוּןChânûwnChanun, the name of an Ammonite and of two Israelites
- רָגַלrâgalto walk along; but only in specifically, applications, to reconnoiter, to be atale-bearer
- חָקַרchâqarproperly, to penetrate; hence, to examine intimately
- עַמּוֹןʻAmmôwnAmmon, a son of Lot; also his posterity and their country
- נָחַםnâchamproperly, to sigh, i.e. breathe strongly; by implication, to be sorry, i.e. (in a favorabl
- הָפַךְhâphakto turn about or over; by implication, to change, overturn, return, pervert
- כָּבַדkâbadto be heavy, i.e. in a bad sense (burdensome, severe, dull) or in a good sense (numerous,
- שַׂרsara head person (of any rank or class)
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Co 13:5–7, Gen 42:9–18, Jdg 18:8–10, Jos 2:1–3, 1Sa 29:4, Jdg 1:23–24, 1Ki 12:8–11, Jdg 18:2
