1 Mambo Ya Nyakati 11:23
Alimuua Mmisri aliyekuwa na urefu kama dhiraa tano. Ingawa huyo Mmisri alikuwa na mkuki kama mti wa mfumaji mkononi, Benaya alimwendea na rungu. Akamnyang’anya Mmisri mkuki wake na kumuua nao.1 Mambo Ya Nyakati 11:23 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מָנוֹרmânôwra yoke (properly, for plowing), i.e. the frame of aloom
- אָרַגʼâragto plait or weave
- מִצְרִיMitsrîya Mitsrite, or inhabitant of Mitsrajim
- גָּזַלgâzalto pluck off; specifically to flay, strip or rob
- חֲנִיתchănîytha lance (for thrusting, like pitching a tent)
- מִדָּהmiddâhproperly, extension, i.e. height or breadth; also a measure (including its standard); henc
- אַמָּהʼammâhproperly, a mother (i.e. unit of measure, or the fore-arm (below the elbow), i.e. a cubit;
- הָרַגhâragto smite with deadly intent
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.