MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Mambo Ya Nyakati 11:23

Alimuua Mmisri aliyekuwa na urefu kama dhiraa tano. Ingawa huyo Mmisri alikuwa na mkuki kama mti wa mfumaji mkononi, Benaya alimwendea na rungu. Akamnyang’anya Mmisri mkuki wake na kumuua nao.

Soma katika muktadha

1 Mambo Ya Nyakati 11:23 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/11/23" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 11:23 — MEGA.Bible"></iframe>