Kwa hiyo simba wa mwituni atawashambulia, mbwa-mwitu wa jangwani atawaangamiza, chui atawavizia karibu na miji yao, ili kumrarua vipande vipande yeyote atakayethubutu kutoka nje, kwa maana uasi wao ni makubwa, na kukengeuka kwao kumekuwa ni kwingi.
Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.