MEGA.Bible Buscar
Português

Yeremia 41:16

Ndipo Yohanani mwana wa Karea pamoja na maafisa wote wa jeshi waliokuwa pamoja naye wakawaongoza wote walionusurika kutoka Mispa, ambao walipona kutoka mikononi mwa Ishmaeli mwana wa Nethania baada yake kumuua Gedalia mwana wa Ahikamu. Mabaki yao walikuwa askari, wanawake, watoto na matowashi aliowaleta kutoka Gibeoni.

Ler no contexto

Incorporar este versículo

Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/jer/41/16" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Yeremia 41:16 — MEGA.Bible"></iframe>