MEGA.Bible Buscar
Português

Yeremia 29:1

Haya ndio maneno ya barua ambayo nabii Yeremia aliituma kutoka Yerusalemu kwenda kwa wazee waliobaki miongoni mwa waliopelekwa uhamishoni, na kwa makuhani, manabii na watu wengine wote ambao Nebukadneza alikuwa amewachukua kwenda uhamishoni Babeli kutoka Yerusalemu.

Ler no contexto

Incorporar este versículo

Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/jer/29/1" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Yeremia 29:1 — MEGA.Bible"></iframe>