Nitawaita watu wote wa falme za kaskazini,” asema Mwenyezi Mungu. “Wafalme wao watakuja na kuweka viti vyao vya utawala katika maingilio ya malango ya Yerusalemu, watakuja dhidi ya kuta zake zote zinazouzunguka, na dhidi ya miji yote ya Yuda.
Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.