Katika siku ile nitafanya agano kwa ajili yao na wanyama wa kondeni, na ndege wa angani, na viumbe vinavyotambaa ardhini. Upinde, upanga na vita, nitaondolea mbali katika nchi, ili wote waweze kukaa salama.
Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.