Hawatahitaji kukusanya kuni kutoka mashambani wala kukata kuni kwenye misitu, kwa sababu watatumia silaha kuwa kuni. Nao watawateka mateka wale waliowateka na kuchukua nyara mali ya wale waliochukua mali yao nyara, asema Bwana Mungu Mwenyezi.
Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.