Ndipo Mwenyezi Mungu, Mungu wako, atakapokufanikisha sana katika kazi zote za mikono yako na katika uzao wa tumbo lako, wadogo wa mifugo yako na mazao ya nchi yako. Mwenyezi Mungu atakufurahia tena na kukufanikisha, kama alivyowafurahia baba zako,
Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.