MEGA.Bible Buscar
Português

2 Samweli 15:2

Akawa anaamka asubuhi na mapema na kusimama kando ya barabara inayoelekea kwenye lango la mji. Wakati wowote alipokuja mtu yeyote mwenye mashtaka yanayohitaji kuletwa mbele ya mfalme kwa maamuzi, Absalomu naye angemwita na kumuuliza, “Wewe unatoka mji upi?” Naye angejibu, “Mtumishi wako anatoka katika mojawapo ya makabila ya Israeli.”

Ler no contexto

Incorporar este versículo

Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2sa/15/2" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Samweli 15:2 — MEGA.Bible"></iframe>