Lakini mtu wa Mungu akamjia na kumwambia, “Ee mfalme, haya majeshi kutoka Israeli kamwe usiyaruhusu yaende pamoja na wewe, kwa kuwa Mwenyezi Mungu hayuko pamoja na Israeli, wala hayupo pamoja na yeyote wa watu wa Efraimu.
Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/25/7" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 25:7 — MEGA.Bible"></iframe>