MEGA.Bible Buscar
Português

2 Mambo Ya Nyakati 10:18

Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoniramu aliyekuwa msimamizi wa wale waliofanya kazi ngumu kwa kulazimishwa, lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe hadi akafa. Hata hivyo, Mfalme Rehoboamu akafanikiwa kuingia kwenye gari lake la vita, akatorokea Yerusalemu.

Ler no contexto

Incorporar este versículo

Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/10/18" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 10:18 — MEGA.Bible"></iframe>