Mfalme pia akampa Sulemani maelekezo kwa ajili ya migawanyo ya huduma za makuhani na Walawi, pia kwa ajili ya kazi zote za huduma katika Hekalu la Mwenyezi Mungu. Akampa pia maelezo kuhusu vifaa vyote vya kutumika katika huduma ya Hekalu.
Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/28/13" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 28:13 — MEGA.Bible"></iframe>