MEGA.Bible Buscar
Português

1 Mambo Ya Nyakati 21:15

Mungu akapeleka malaika kuangamiza Yerusalemu. Lakini malaika alipokuwa akifanya hivyo, Mwenyezi Mungu akaona na akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Mwenyezi Mungu alikuwa amesimama katika sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.

Ler no contexto

Incorporar este versículo

Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/21/15" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 21:15 — MEGA.Bible"></iframe>