Baadhi ya Wagadi wakajitenga na kujiunga na Daudi katika ngome yake huko jangwani. Walikuwa mashujaa hodari, wakiwa wamejiandaa kwa vita, na wenye uwezo wa kutumia ngao na mkuki. Nyuso zao zilikuwa nyuso za simba na walikuwa na wepesi kama paa milimani.
Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/12/8" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 12:8 — MEGA.Bible"></iframe>