Esta 7:8
Mara mfalme aliporudi kutoka bustani ya jumba la kifalme na kuingia kwenye ukumbi wa karamu, Hamani alikuwa akijitupa kwenye kiti kile Esta alikuwa akiegemea. Mfalme akasema kwa nguvu, “Je, atamdhalilisha malkia hata huku nyumbani akiwa pamoja nami!” Mara neno lilipotoka kinywani mwa mfalme, walifunika uso wa Hamani.This verse in the real world
In what words
- בִּיתָןbîythâna palace (i.e. large house)
- גִּנָּהginnâh{a garden}
- חָפָהchâphâhto cover; by implication, to veil, to encase, protect
- כָּבַשׁkâbashto tread down; hence, negatively, to disregard; positively, to conquer, subjugate, violate
- מִטָּהmiṭṭâha bed (as extended) forsleeping or eating; by analogy, a sofa, litter or bier
- מַלְכָּהmalkâha queen
- מִשְׁתֶּהmishtehdrink, by implication, drinking (the act); also (by implication) a banquet or (generally)
- הָמָןHâmânHaman, a Persian vizier
+10 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.