Danieli 9:25
“Ujue na kuelewa hili: Tangu kutolewa kwa amri ya kuutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu hadi kuja kwa Mpakwa mafuta, aliye mtawala, kutakuwa na majuma saba, na majuma sitini na mawili. Barabara zitajengwa tena pamoja na mahandaki, lakini katika wakati wa taabu.This verse in the real world
Where
Who
In what words
- צוֹקtsôwqa strait, i.e. (figuratively) distress
- חֲרוּץchărûwtsproperly, incised or (active) incisive; hence (as noun masculine or feminine) a trench (as
- שָׁבוּעַshâbûwaʻliterally, sevened, i.e. a week (specifically, of years)
- מוֹצָאmôwtsâʼa going forth, i.e. (the act) an egress, or (the place) an exit; hence, a source or produc
- מָשִׁיחַmâshîyachanointed; usually a consecrated person (as a king, priest, or saint); specifically, the Me
- רְחֹבrᵉchôba width, i.e. (concretely) avenue or area
- נָגִידnâgîyda commander (as occupying the front), civil, military or religious; generally (abstractly,
- שִׁשִּׁיםshishshîymsixty
+8 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.
