Danieli 3:15
Basi wakati mtakaposikia sauti ya baragumu, filimbi, marimba, zeze, kinubi, zumari na aina zote za ala za uimbaji, kama mtakuwa tayari kusujudu na kuiabudu hiyo sanamu niliyoitengeneza, vyema sana. Lakini kama hamtaiabudu, mtatupwa saa hiyo hiyo ndani ya tanuru linalowaka moto. Naye ni mungu yupi ataweza kuwaokoa ninyi kutoka mkononi mwangu?”This verse in the real world
Who
In what words
- עֲתִידʻăthîydprepared
- סוּמְפּוֹנְיָהçûwmᵉpôwnᵉyâha bagpipe (with a double pipe)
- זְמָרzᵉmârinstrumental music
- זַןzansort
- מַשְׁרוֹקִיmashrôwqîya (musical) pipe (from its whistling sound)
- סַבְּכָאçabbᵉkâʼa lyre
- פְּסַנְטֵרִיןpᵉçanṭêrîynpsalterion; a lyre
- קִיתָרֹסqîythârôça lyre
+23 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.
Cross-references
Act 5:29, 2Ki 18:35, 2Ch 32:15–17, Exo 5:2, Dan 3:17, Act 4:8–12, Isa 36:18–20, Act 4:19