2 Samweli 20:21
Hivyo sivyo ilivyo. Mtu mmoja jina lake Sheba mwana wa Bikri, kutoka nchi ya vilima ya Efraimu, ameinua mkono wake dhidi ya mfalme, dhidi ya Daudi. Mkabidhini mtu huyu mmoja kwangu, nami nitajiondoa katika mji huu.” Huyu mwanamke akamwambia Yoabu, “Kichwa chake mtatupiwa kupitia juu ya ukuta.”This verse in the real world
When
In what words
- בִּכְרִיBikrîyBikri, an Israelite
- שֶׁבַעshebaʻSheba, the name of a place in Palestine, and of two Israelites
- בְּעַדbᵉʻadin up to or over against; generally at, beside, among, behind, for, etc.
- חוֹמָהchôwmâha wall of protection
- שָׁלַךְshâlakto throw out, down or away (literally or figuratively)
- יוֹאָבYôwʼâbJoab, the name of three Israelites
- אֶפְרַיִםʼEphrayimEphrajim, a son of Joseph; also the tribe descended from him, and its territory
- הַרhara mountain or range of hills (sometimes used figuratively)
+14 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.