2 Mambo Ya Nyakati 24:25
Waaramu walipoondoka, walimwacha Yoashi akiwa mgonjwa sana. Maafisa wake wakapanga njama dhidi yake kwa sababu alikuwa amemuua mwana wa Kuhani Yehoyada, nao wakamuua kitandani mwake. Hivyo akafa, wakamzika katika Mji wa Daudi, lakini si katika makaburi ya wafalme.This verse in the real world
Where
In what words
- מַחְלֻיmachluya disease
- מִטָּהmiṭṭâha bed (as extended) forsleeping or eating; by analogy, a sofa, litter or bier
- קָשַׁרqâsharto tie, physically (gird, confine, compact) or mentally (in love, league)
- יְהוֹיָדָעYᵉhôwyâdâʻJehojada, the name of three Israelites
- קֶבֶרqebera sepulchre
- קָבַרqâbarto inter
- הָרַגhâragto smite with deadly intent
- עָזַבʻâzabto loosen, i.e. relinquish, permit, etc.
+10 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.
Cross-references
2Ch 28:27, 2Ch 24:21–22, Psa 10:14, 2Ch 22:6, 2Ki 12:20–21, 2Ch 21:16, 2Ch 24:16, Rev 16:6
