Asubuhi na mapema wakaondoka kuelekea Jangwa la Tekoa. Walipoanza safari, Yehoshafati akasimama akasema, “Nisikilizeni, enyi Yuda, na watu wa Yerusalemu! Mwaminini Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, hivyo mtathibitika, wasadikini manabii wake nanyi mtafanikiwa.”