1 Samweli 10:2
Utakapoondoka kwangu leo, utakutana na watu wawili karibu na kaburi la Raheli, huko Selsa kwenye mpaka wa Benyamini. Watakuambia, ‘Punda wale uliotoka kwenda kuwatafuta, wamekwisha kupatikana. Sasa baba yako ameacha kufikiri kuhusu punda na sasa ana hofu kukuhusu wewe. Anauliza, “Nitafanyaje kuhusu mwanangu?” ’This verse in the real world
Where
When
In what words
- צֶלְצַחTseltsachTseltsach, a place in Palestine
- דָּאַגdâʼagbe anxious
- עִמָּדʻimmâdalong with
- קְבוּרָהqᵉbûwrâhsepulture; (concretely) a sepulchre
- אָתוֹןʼâthôwna female donkey (from its docility)
- נָטַשׁnâṭashproperly, to pound, i.e. smite; by implication (as if beating out, and thus expanding) to
- רָחֵלRâchêlRachel, a wife of Jacob
- בִּנְיָמִיןBinyâmîynBinjamin, youngest son of Jacob; also the tribe descended from him, and its territory
+13 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.
